Brazilian striker Maicon Pereira de Oliveira amefariki dunia katika ajari ya gari iliyotokea siku ya Jumamosi tareher 7, 2014.
Maicon alikuwa kwenye mkopo kutoka Shakhtar kwenda Ukrainian league club Illichivets Mariupol mpaka mwisho wa season 2013-14.
Taarifa zaidi juu ya ajari hiyo hazijatolewa. Kiungo huyo alikuwa na miaka 25.Maicon alikuwa kwenye mkopo kutoka Shakhtar kwenda Ukrainian league club Illichivets Mariupol mpaka mwisho wa season 2013-14.
Mungu ailaze roho yake mahari pepa...Amen!
0 comments:
Post a Comment
Tunashukuru kwa kuitembelea blog yetu, Acha maoni yako hapo chini, tafadhari usichafue hali ya hewa. Karibu tena!!