Mwanamuziki mkongwe wa dansi nchini Muhidini Gurumo amefariki dunia jana jumapili tarehe 13 April baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa kujaa mapafu. Gurumo amefariki akiwa na umri wa miaka 74.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. Amen
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. Amen
0 comments:
Post a Comment
Tunashukuru kwa kuitembelea blog yetu, Acha maoni yako hapo chini, tafadhari usichafue hali ya hewa. Karibu tena!!