Uzinduzi wa kitabu hiki umefanyika Maktaba Kuu ya Taifa kuhamasisha waTanzania kupenda kusoma na kuwapa vitabu hivi hamsini kwa watumiaji wa Maktaba hii. #Elimu #Tanzania #Unaweza #Tunaweza
Home »
» Faraja Kota azindua kitabu chake cha 'Unaweza'
Faraja Kota azindua kitabu chake cha 'Unaweza'
#Unaweza Book Launch. Unaweza - Mbinu Kumi za Kumudu Masomo Yako ni kitabu cha kujenga uwezo wa wanafunzi kumudu changamoto za maisha ya shule na masomo yao.
Posted by
Clicksomemore
0 comments:
Post a Comment
Tunashukuru kwa kuitembelea blog yetu, Acha maoni yako hapo chini, tafadhari usichafue hali ya hewa. Karibu tena!!