Home » » Joan Rivers amwita mtoto wa Kim na Kanye mbaya na anahitaji waxing

Joan Rivers amwita mtoto wa Kim na Kanye mbaya na anahitaji waxing

Mchekeshaji na mwakilishi wa kipindi cha The E! Fashion Police Joan Rivers inadaiwa kumwita mtoto wa Kim Kardahsina na Kanye West, North mbaya na anahitaji waxing , kwa wale wasiojua waxing ni njia mbadala ya kutoa vinyweleo kutumia asali. 

Mwanamama huyo mwenye miaa 80 alitoa kali hiyo na kuwaambia umati wa watu walioudhuria moja ya kipindi chake cha uchekeshaji katika ukumbi wa Saban  siku ya Januari 17,Los Angeles.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Tunashukuru kwa kuitembelea blog yetu, Acha maoni yako hapo chini, tafadhari usichafue hali ya hewa. Karibu tena!!

chatroom

Chatroom - socialize, be funny and make friends:)
 
Support : visit other blog here
Copyright © 2013. 247 Swahili News - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger