Home » » Mtumiaji wa facebook mkongwe kuliko wote asherekea siku ya 106 ya kuzaliwa kwake

Mtumiaji wa facebook mkongwe kuliko wote asherekea siku ya 106 ya kuzaliwa kwake

Mtumiaji wa kitabu cha sura aka facebook mkongwe kuliko wote, bi Edythe Kirchmaier,  leo ametimiza miaka 106. Kirchmaier alisaidiwa na rafiki yake kufungua account ya fb mwaka 2013,akiwa na miaka 105.

Kirchmaier, pia ni dereva mkongwe kutoka jimbo la California na pia ni mhitimu mkongwe kutoka chuo cha Chicago.

Wakati wa kusajili aliingiza mwaka wa kuzaliwa 1908. Ilichukua takribani mwezi mmoja kwa wataalamu wa mtandao ( site’s engineers) kumpitisha kwani ni kitu ambacho hawajawahi kukutana nacho toka Facebook ianze.

Kirchmaier ana marafiki zaidi ya 45,000 kwenye kurasa yake malumu ya facebook na likes kama 105,000.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Tunashukuru kwa kuitembelea blog yetu, Acha maoni yako hapo chini, tafadhari usichafue hali ya hewa. Karibu tena!!

chatroom

Chatroom - socialize, be funny and make friends:)
 
Support : visit other blog here
Copyright © 2013. 247 Swahili News - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger