

Mwanadada huyo kutoka Cameroon alizindua cream zake hizo kama wiki mbili zilizopita na zimempatia umaarufu sana kwani kuna baadhi ya watu wanazipenda na kuna wanaozipinga wakidai kwanini mtu ajichubue na asibaki na ngozi yake asilia.
Dencia jana ametoa tamko kuwa cream zake sio za kujichubua bali ni za kuondoa makovu sugu yatokanayo na chunusi au mikwaruzo.
Dencia ambaye kabla alikuwa mweusi kama Kelly Rowland alianza kubadilika na kuwa kama Beyonce na sasa hivi kama unavyomuona kwenye picha hapo juu ni kama Kate Perry hehehe
0 comments:
Post a Comment
Tunashukuru kwa kuitembelea blog yetu, Acha maoni yako hapo chini, tafadhari usichafue hali ya hewa. Karibu tena!!