Home » » Haya kazi kwenu, Bilionea Cecil Chao apanda dau kwa atakaye muoa binti yake ambae ni shoga

Haya kazi kwenu, Bilionea Cecil Chao apanda dau kwa atakaye muoa binti yake ambae ni shoga

 
Mnakumbuka kuna stori ilishamiri kwenye mtandao kuwa bilionea Cecil Chao alitoa ofa ya £40m mwaka 2012 kwa mtu yeyote atakayembadilisha binti yake ambaye ni shoga kuwa kawaida? Sasa amepanda dau mara mbili yake LOL

Chao sasa amepanda dau mara mbili ya ofa aliyotoa mwanzo na kufanya kuwa HK$1million ambayo ni £80m baada ya mabachelor kushindwa kumuoa binti yake huyo anayeitwa Gigi .

Takribani ya wanaume 20,000 walionyesha nia ya kuwa na Gigi lakini hawakuwa tayari kumuoa.

Tajiri huyo mwenye umri wa miaka 77 kutoka Hong Kong, anasisitiza kuwa binti yake Gigi (34) ni single ingawa ameolewa miaka miwili iliyopita na mpenzi wake wa siku nyingi Sean Eav ambaye pia ni mwanamke (Pichani kushoto)

Chao anasema anataka binti yake aolewe na awe na watoto.

Haya kazi kwenu all single and available men out there......hahaha!
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Tunashukuru kwa kuitembelea blog yetu, Acha maoni yako hapo chini, tafadhari usichafue hali ya hewa. Karibu tena!!

chatroom

Chatroom - socialize, be funny and make friends:)
 
Support : visit other blog here
Copyright © 2013. 247 Swahili News - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger