Home » » Prezzo aumbuliwa na kudharirishwa hadharani na msichana wake wa kitanzania

Prezzo aumbuliwa na kudharirishwa hadharani na msichana wake wa kitanzania

Aliyekuwa mwakilishi wa Kenya kwenye jumba la Big Brother Africa na rapper Jackson Makini aka CMB Prezzo, hivi karibuni  amepigwa kibuti na mpenzi wake wa kitanzania anayeishi Marekani Starlisha aka Chagga Barbie kwa madai ya kumcheat na  Huddah Monroe na wanaweke wengine.

Wakati mapenzi yanaanza kuchanua kati yao mwaka jana, wengi tulidhani huenda zile drama zilizojitokeza kwa wapenzi wengine wa rapper huyo waliopita zingepungua au kuisha kabisa, lakini tayari kuna bomu limeshalipuka.

Kwa kumkomesha na kumuaibisha jamaa, Chagga Barbie amekuwa akianika hadharani siri za ndani za Prezzo kwenye ukurasa wake wa Instagram

Pia aliweka picha ya mwanaume ambaye yuko mtupu na kinanilihu chake kidogo na kuita 'kibamia' huku akimlenga Prezzo.

Embu angalia mtililiko wa mawasiliano yaliyowekwa hewani......majanga!!
Chagga Barbie
Tanzanian hottie: haya Chagga barbie yatosha kwa leo ...Prezzo next time kaa mbali na TZ babes LOL
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Tunashukuru kwa kuitembelea blog yetu, Acha maoni yako hapo chini, tafadhari usichafue hali ya hewa. Karibu tena!!

chatroom

Chatroom - socialize, be funny and make friends:)
 
Support : visit other blog here
Copyright © 2013. 247 Swahili News - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger