Home » » MUONGOZAJI WA FILAMU, GEORGE TYSON AFARIKI DUNIA

MUONGOZAJI WA FILAMU, GEORGE TYSON AFARIKI DUNIA

Bongo movies kunani?

Muongozaji wa Bongo Movies na vipindi mbalimbali vya television hapa nchini,George Tyson, (Baba Sonia), amefariki dunia, kwa ajali mbaya wakati akitokea Dodoma, maeneo ya Gairo, akiwa pamoja na timu ya The Mboni Show, ambao pia wamejeruhiwa vibaya sana.

Kwa sasa mwili wa Marehemu na majeruhi, wamepelekwa katika hospitali ya mkoa wa Morogoro.

Pia kumbuka George Tysona aliwahi kuwa mume wa msanii Monalisa, na wakabahatika kuzaa mtoto mmoja anayeitwa Sonia.

R.I.P George Tyson.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Tunashukuru kwa kuitembelea blog yetu, Acha maoni yako hapo chini, tafadhari usichafue hali ya hewa. Karibu tena!!

chatroom

Chatroom - socialize, be funny and make friends:)
 
Support : visit other blog here
Copyright © 2013. 247 Swahili News - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger