Home » » Private Brian Salva Rweyemamu azikwa leo

Private Brian Salva Rweyemamu azikwa leo

Marehemu Private Brian Salvatory Rweyemamu aliyefariki alfajiri ya kuamkia tarehe 15 Mei,2014 katika hospitali ya Jeshi Lugalo jijini Dar es salaam alipokuwa akitibiwa. 
Askari wa JWTZ wakishusha kaburini mwili wa mpiganaji mwenzao 
Mkurugenzi wa Mawasiliano Ofisi ya Rais Bw. Salva Rweyemamu na mkewe Isabella wakiweka shada la maua kwenye kaburi la mtoto wao Private Brian Salva Rweyemamu katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam leo Mei 17, 2014
Dada wa Marehemu Private Brian Salva Rweyemamu wakiweka shada la maua 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salva Kikwete wakiweka shada la maua.

Picha na Ikulu 
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Tunashukuru kwa kuitembelea blog yetu, Acha maoni yako hapo chini, tafadhari usichafue hali ya hewa. Karibu tena!!

chatroom

Chatroom - socialize, be funny and make friends:)
 
Support : visit other blog here
Copyright © 2013. 247 Swahili News - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger