Home » » Kasuku amchomea dereva kwa polisi

Kasuku amchomea dereva kwa polisi

Kituko cha mwaka!!

Dereva mmoja kutoka mexico amejikuta anatumikia rumande kwa usiku mmoja baada ya kasuku wake kumchomea kwa polisi.

Guillermo Reyes alisimamishwa na polisi kwa wajili ya kuchekiwa 'alcohol checkpoint' baada ya kuhisiwa kuwa anaendesha gari huku akiwa amekunywa.

Kasuku alisikika kutoka ndani ya gari akisema “He’s drunk, He’s drunk,” akiamanisha ni kweli jamaa amekunywa.

Jamaa huyo na kasuku wake walijikuta wakisekwa ndani na kutoka kesho yake.

kwa kasuku ndio faida ya kuwa mbeya, na kwa jamaa anapaswa ajue kwa nini watu wanafuga mbwa au paka hehehe.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

Tunashukuru kwa kuitembelea blog yetu, Acha maoni yako hapo chini, tafadhari usichafue hali ya hewa. Karibu tena!!

chatroom

Chatroom - socialize, be funny and make friends:)
 
Support : visit other blog here
Copyright © 2013. 247 Swahili News - All Rights Reserved
Proudly powered by Blogger