Kwa mujibu wa ripoti, mwimbaji wa Kimarekiani Keri Hilson (31), na mchumba wake mchezaji wa mpira wa kikapu NBA,Serge Jonas Ibaka Ngobila (24), wameamua kila mmoja kwenda na njia yake baada ya kuwa wapenzi kwa muda wa mwaka mmoja.
Kwa mujibu wa mtandao wa MTO, uhusiano wao ulikuwa wenye migogoro na sio mara ya kwanza kuachana.
Sababu ya kuvunjika kwa penzi hilo bado haijajulikana. Pamoja na kwamba Keri alikuwa na hamu ya kuolewa na alimpenda sana jamaa, naona ameamua enough is enough.......
Kwa mujibu wa mtandao wa MTO, uhusiano wao ulikuwa wenye migogoro na sio mara ya kwanza kuachana.
Sababu ya kuvunjika kwa penzi hilo bado haijajulikana. Pamoja na kwamba Keri alikuwa na hamu ya kuolewa na alimpenda sana jamaa, naona ameamua enough is enough.......
Sikiliza Power 105.1 FM kwa taarifa zaidi
0 comments:
Post a Comment
Tunashukuru kwa kuitembelea blog yetu, Acha maoni yako hapo chini, tafadhari usichafue hali ya hewa. Karibu tena!!